1 Chronicles 29:1

Matoleo Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Hekalu

1 aNdipo Mfalme Daudi akaliambia kusanyiko lote: “Mwanangu Solomoni, yeye ambaye Mungu amemchagua, ni kijana mdogo na asiye na uzoefu. Kazi hii ni kubwa, kwa sababu Hekalu hili la fahari si kwa ajili ya mwanadamu bali ni kwa ajili ya Bwana.
Copyright information for SwhNEN